0 views
Jumatatu hii baada ya kuona picha za Dogo Janja amefunga ndoa na Irene Uwoya, amedai picha hizo zimemfanya aamini hata yeye siku moja atafunga ndoa na Wema Sepetu.




























































Irene Uwoya: Sijamtuma Aristote, pole Wema
Malkia wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu amekanusha vikali tetezi ambazo ziliibuliwa na mwanadada wa mitandaoni Mange Kimambi kwamba kuna siku alichepuka na Dogo Janja ambaye ni mume wa ndoa wa Irene Uwoya.
Inaelezwa kuwa kwa kipindi kirefu Wema na Lulu wamekuwa hawana maelewano mazuri kutokana na sababu ambazo hazijawekwa wazi huku kwa upande wa Irene Uwoya suala la kashfa zilizotolewa na mpambe wake “Aristoste’ dhidi ya Wema zikitajwa kama moja ya sababu iliyosababisha kukosekana kwa maelewano baina yao.
Date: March 21, 2023









